Subscribe Us

Header Ads

Aweso awa mkali kwa mtumishi ‘sipendi uongo,kwanini unanidanganya’

Ni Waziri wa Maji Jumaa Aweso ambae leo ameendelea na ziara yake na hapa amefika kwenye Mtambo wa Ruvu Chini na kukagua hali ya uzalishaji Maji.